Font Size
Yohana 19:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 19:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Kisha Pilato akaamuru Yesu aondolewe akachapwe viboko. 2 Askari wakatengeneza taji kutokana na matawi yenye miiba na kuiweka kichwani kwake. Kisha wakamzungushia vazi la rangi ya zambarau mwilini mwake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International